| Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Steven
Kebwe akiteta jambo na Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim( kushoto)
wakati akielekea jukwaa kuu tayari kuongoza uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya
Ustawi wa Jamii. Maadhimisho hayo yanafanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha
Ustawi wa Jamii, Kijitonyama, Dar es salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Taswo
Dk.Zena Mabeyo |
No comments:
Post a Comment